Greater flamingos (Phoenicopterus roseus) in the mangroves of Umm Al-Qaiwain, United Arab Emirates

Asia Magharibi

Afisi ya Asia Magharibi ya Shirika la Mazingira la Umoja wa Mataifa huhimiza kuweko kwa mazingira safi, hewa na maji safi, na ardhi inayozalisha ili kupata na kudumisha maendeleo endelevu.

Latest

Publications 

Sustainable Digitalization and the Triple Planetary Crisis in West Asia

Arab Forum for Environment 

Arab Forum for Environment

Sustainable Ramadan Campaign 2024 

Recipe Of Change Campaign
Changamoto
Asia Magharibi ina utajiri wa mafuta na uchechefu wa maji, eneo hili limetunukiwa kijiografia na kisiasa kwa sababu linapakana na mabara matatu.

Mambo haya, yakijumuishwa na mengine, yamechangia mizozo na malumbano ambayo yameathiri watu na mazingira vibaya. Amani na usimamizi wa mazingira ulioboreshwa ni muhimu ili kupata utajiri na ukuaji katika eneo hili la Asia Magharibi.

Soma zaidi



  • Wabia wetu

Tunaweza kufanya kazi katika eneo la Asia Magharibi kutokana na ubia na serikali, biashara, mashirika ya makundi ya uraia na wahusika wengine kutoka eneo hili. Orodha ya wabia wetu inapatikana hapa..

Our work in West Asia is made possible by our partnerships with governments, businesses, civil society organizations and other actors in the region. A list of our partners is available here.