Narendra Modi - Policy Leadership

Waziri Mkuu wa India

Shirika la Mazingira la Umoja wa Mataifa linamutambua Waziri Mkuu wa India Narendra Modi kwa uungozi wake wa kishujaa kuhusiana na masuala ya mazingira katika ngazi ya kimataifa. Chini ya uongozi wa Narendra Modi, India iliahadi kukomesha matumizi ya plastiki zinazotumiwa tu mara moja katika nchi hiyo kufikia mwaka wa 2022. Waziri Mkuu, Modi, pia anaunga mkono na kupigania kuwepo kwa Muungano wa Kimataifa wa Nishati ya Jua, ambao ni ubia wa kimataifa wa kuimarisha matumizi ya nishati ya jua.

Emmanuel Macron, Rais wa Ufaransa na Narendra Modi, Waziri Mkuu wa India, wanat…

Habari na Matukio